iqna

IQNA

waislamu wa kanada
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Mwanamume mmoja wa Kanada aliyekuwa na msukumo wa fikra za misimamo mikali za kibaguzi za kizungu alitumia gari lake la mizigo kulenga kwa makusudi familiaya Kiislamu kwa na kusababisha vifo vya watu wanne.
Habari ID: 3477589    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/12

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Waislamu katika eneo la Edmonton nchini Kanada (Canada) wametoa ushuhuda wenye nguvu kwa maseneta wa Baraza la Seneti la Kanada kuhusu uzoefu wao na ubaguzi wa rangi na uhalifu unaochochewa na chuki katika mkutano wa hadhara mjini humo.
Habari ID: 3475762    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/10